WELCOME TO VIBES,FEEL FREE AND ENJOOY

Monday, 22 October 2012

NEWS ALERT: VIONGOZI WA UAMSHO ZANZIBAR WAPANDISHWA KIZIMBANI LEO








Gari la Polisi ambalo liliwachukuwa Viongozi wa Jumuiya ya UAMSHO ambao walishitakiwa kwa makosa ya kufanya fujo na uchochezi likiwa linawasili Mahakama ya Wilaya ya Mwanakwerekwe.

Baadhi ya Wananchi walioenda Mahakamani hapo kwenda kushuhudia kesi inayowakabili Viongozi wa Jumuiya ya UAMSHO ambao walikosa dhamana na kurudishwa Rumande.Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.

No comments:

Post a Comment