Tarehe 14, Februari, 2013, saa 10 jioni, Dar es Salaam itajiunga na wanaharakati duniani kote kwa ajili ya ONE BILLION RISING, Siku Kubwa kabisa ya utekelezaji katika historia ya Siku ya Ukatili, harakati za wanaharakati za kimataifa kukomesha ukatili dhidi ya wanawake na wasichana.
No comments:
Post a Comment