WELCOME TO VIBES,FEEL FREE AND ENJOOY

Sunday, 3 February 2013

Rais Kikwete aongoza Matembezi ya Mshikamano ya Maadhimisho ya Miaka 36 ya CCM mkoani Kigoma leo





Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM},Rais Jakaya Kikwete na Mkewe Mama Salma Kikwete leo wameongoza Matembezi ya Mshikamano yaliyoanzia kwenye eneo la Mnarani na kuishia kwenye ofisi za CCM mkoani Kigoma,asubuhi ya leo. Matembezi hayo hayo yamehudhuliwa na viongozi mbali mbali wa Chama cha Mapinduzi.

No comments:

Post a Comment