MKURUGENZI MKUU WA UNESCO IRINA BOKOVA'S AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU MBILI
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa akimlaki Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO Bi. Irina Bokova's aliyewasili nchini usiku wa kuamkia leo kwa ziara ya kikazi ya siku mbili nchini. Waliobaki nyuma ni Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini Tanzania Dkt. Alberic Kacou, Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa Mh. Begum Taj na Msaidizi wa Mkurugenzi wa UNESCO.
No comments:
Post a Comment